Abigail: nilienda tanga kujifunza kusonga ugali

Abigail: nilienda tanga kujifunza kusonga ugali

Baada ya mwanamuziki wa #bongofleva nchini Abigail Chams ku-share video akiwa anasonga ugali, ameweka wazi kuwa alienda mkoani Tanga kwa ajili ya kujifunza kupika chakula hicho.

Abigail ameyaseama hayo kwenye mahojiano yake na vyombo vya habari siku ya jana katika uzinduzi wa Samia Queens ambapo alieleza kuwa yeye ni mtu ambaye akipewa challenge lazima aifanye, watu walimzodoa sana kuwa hawezi kusoga ugali ndipo akaamua kwenda kujifunza.

Aidha kupitia mahojiano yake hayo amedai kuwa alienda Mkoani Tanga kwa ajili ya kujifunza kupika chakula hicho na haikuchukua muda sana wa yeye kuelewa jinsi ya kupika.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post