Zamu ya Burna Boy kusimama kwenye uwanja uliojazwa na mastaa wa Marekani

Zamu ya Burna Boy kusimama kwenye uwanja uliojazwa na mastaa wa Marekani

Baada ya kufanya show katika majukwaa makubwa duniani, sasa mwanamuziki #BurnaBoy anatarajia kufanya show katika uwanja wa #London unao kadiriwa kuingiza mashabiki zaidi ya elfu 80.

Kupitia Instastory ya msanii huyo ame-share poster ikionesha anaenda kupiga show katika uwanja huo ikiwa ni sehemu ya ziara yake aliyoipa jina la ‘I Told Them’ show itafanyika June 29, mwaka 2024.



Licha ya uwanja huo kuingiza idadi kubwa ya watu, mastaa mbalimbali wa muziki nchini #Marekani wamewahi kuujaza, akiwemo The Weekend, Ed Sheeran, Tayor Swift na wengineo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post