Vikosi vya ulinzi vya ujerumani vyaondolewa nchini mali

Vikosi vya ulinzi vya ujerumani vyaondolewa nchini mali

Maamuzi hayo yanatarajiwa kutekelezwa kuanzia katikati ya Mwaka 2023 na mchakato utaendelea hadi utakapokamilika Mwaka 2024

Ujerumani ina Wanajeshi 1,000 Nchini Mali, wengi wao wakiwa Kaskazini mwa Mji wa Gao chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN) wakisaidia kulinda amani

Chanzo cha uamuzi huo ni baada ya Utawala wa Kijeshi wa Mali kuwakaribisha Wanajeshi wa Urusi katika Mji wa Gao. UN imesema haijapata taarifa rasmi kuhusu maamuzi hayo ya Ujerumani






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post