Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini South Africa, #Tyla wa ‘water’ ambao ulionekana kwenye #Billboard Hot 100 mwezi uliopita, hatimaye umetolewa remix ambayo amemshirikisha ‘rapa’ kutoka #Marekani #TravisScott.
‘Water’ni wimbo wa kwanza kutoka kwa #Tyla uliompa mafanikio makubwa duniani kote ambapo original video hiyo mpaka kufikia sasa huko mjini #YouTube inawatazamani zaidi ya milioni 45
![Tyla aachia remix ya water](https://mwananchiscoop.co.tz/public/uploads/2023/11/17/fr3b59191cc4c8f27cc4d44f9f2f78948a665cad6a.webp)
Leave a Reply