Tyla aachia remix ya water

Tyla aachia remix ya water

Wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini South Africa, #Tyla wa ‘water’ ambao ulionekana kwenye #Billboard Hot 100 mwezi uliopita, hatimaye umetolewa remix ambayo amemshirikisha ‘rapa’ kutoka #Marekani #TravisScott.

‘Water’ni wimbo wa kwanza kutoka kwa #Tyla uliompa mafanikio makubwa duniani kote ambapo original video hiyo mpaka kufikia sasa huko mjini #YouTube inawatazamani zaidi ya milioni 45






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post