Sadio Mane huenda asishiriki kombe la dunia

Sadio Mane huenda asishiriki kombe la dunia

Mshambuliaji wa Klabu ya Bayern Munich, Sadio Mane atakosa fainali za Kombe la Dunia baada ya Kupata majeraha ya goti kwenye mchezo wa Bundesliga dhidi ya Werder Bremen.

Hata hivyo Kocha Julian Nagelsmann amesema mchezaji huyo atapigwa picha ya X-ray ili kubaini ukubwa wa jeraha hilo.

 

 






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post