Sadio Mane akiwa na mkewe Aisha Tamba

Sadio Mane akiwa na mkewe Aisha Tamba

Baada ya ‘timu’ yake ya Taifa ya #Senegal kuondolewa katika michuano ya #Afcon mchezaji kutoka ‘klabu’ ya #Alnassr Sadio Mane amerudi na sasa yupo mapumzikoni akiwa na mkewe Aisha Tamba.

Mabingwa watetezi #Senegal wameondolewa katika michuano hiyo na ‘timu’ ya Taifa ya Ivory Coast kwa mikwaju ya ‘penati’ baada ya mchezo huo kutamatika kwa sare ya bao 1-1.

katizame video hiyo kupitia ukurasa wetu wa instagram @mwananchiscoop






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post