Ninja atimkia Congo

Ninja atimkia Congo

Aliyekuwa ‘beki’ wa ‘klabu’ ya Yanga Abdallah SHaibu 'Ninja' awasili nchini Congo inadaiwa mchezaji huyo ‘amsaini’ mkataba wa mwaka mmoja katika kuichezea 'timu' Lubumbashi Sports .

Kwa mujibu wa taarifa kutoka nchini humo ‘beki’ huyo ametua siku ya Jumatano na juzi alitembezwa kwenye mandhari ya 'klabu' hiyo kabla ya ‘kusaini’ mkataba katika 'timu' hiyo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Asha Charles


Latest Post