Mashabiki wa Chelsea wachukizwa na tangazo

Mashabiki wa Chelsea wachukizwa na tangazo

Mashabiki wa ‘klabu’ ya Chelsea wachukizwa na kitendo cha ‘timu’ hiyo kuingia mkataba wa kuitangaza hoteli ya ‘Hilton Hotels’ baada ya kumtumia Mtangazaji kutoka nchini Uingereza Georgia Toffolo kufanya tangazo hilo kwa kutazama ‘mechi’ akiwa kitandani.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Toffolo ali-share video akiwa Uwanja wa ‘Stamford Bridge’ wakati wa ‘mechi’ ya Wanawake kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United, kufuatiwa na tukio hilo wadau na mashabiki walichukiza na kitanda hicho kuwepo uwanjani.



Ambapo wali-komenti kupitia video hiyo wakieleza kuwa kitendo hicho sio sawa kwa watu masikini, hivyo basi kuweka kitanda uwanjani ni kuuaibisha mpira wa miguu.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post