Joeboy, musician

Joeboy, musician

Name; Joseph Akinwale

Birthday; May, 21

Kazi; Musician  

Joseph Aknwale also known  as Joeboy is a Nigerian Singer and songwriter  

Joeboy anajulikana zaidi kupitia nyimbo zake kadha wa kadha kama vile Alcohol, Baby, Beginning, Show me, Mine na nyingine kibao, mwamaba huyo anatamba zaidi huko mjini Tiktok kupitia nyimbo yake ya Alcohol ambayo inaendelea kufanya vizuri.

Joeboy won Best Artiste in African Pop at the 2019 All Africa Music Awards, and Best Pop at the 2020 Soundcity MVP Awards Festival.

Joeboy anaendelea kulisongesha gurudumu lake la Tour ambayo ameipa jina la “Joeboy the Young Legend Tour” ambapo anatarajiwa kwenda katika sehemu tofauti tofauti kama vile New York, Las Vegas, Atlanta, San Francisco na sehemu nyinginezo kibao.

We love Joeboy because he is  musician who strives for his dreams to get where he wants to go, so many young people who want to success in  music have to fight for their dreams and not fall asleep if they need success in music.

 

 






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Detricia Pamba

A Digital Journalist, Content Creation Executive at Mwananchi Communications Ltd and Chief Editor of Mwananchi Scoop. I'm also writes stories around Technology, every Wednesday on Mwananchi Scoop. My other famous segments on Mwananchi Scoop include LISTI and WHO’S HOT.


Latest Post