Baba mzazi wa Bacca atua Dar kumshuhudia mwanaye

Baba mzazi wa Bacca atua Dar kumshuhudia mwanaye

Baba mzazi wa mchezaji wa ‘Klabu’ ya Yanga, Ibrahim Bacca mzee Abdallah Hamad tayari amewasili Dar es salaam akitokea kisiwani Zanzibar kwa ajili ya kuishuhudia ‘Bacca day’ kesho.

Mzee Abdalla amewasili leo na tayari amefika katika makao makuu ya ‘klabu’ ya #Yanga, Jangwani na kukutana na wazee wa ‘timu’ hiyo.



‘Mechi’ hiyo iliyopewa jina la ‘Bacca Day’ itachezwa saa 1:00 usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ambapo ‘klabu’ ya Yanga itaingia dimbani dhidi ya Al Ahly.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post