Baba Levo kuwarudisha Diamond na Harmonize pamoja

Baba Levo kuwarudisha Diamond na Harmonize pamoja

Mwanamuziki wa bongo Fleva #BabaLevo ameleza kuwa kwasasa ipo haja ya #Harmonize na #Diamond kumaliza tofauti zao.

Baba levo kupitia ukurasa wake wa #Instagram ame-share ‘picha’ akiwa na Harmonize na kueleza kuwa Jana alikutana na #KondeBoy na amekuwa mtu safi sana hivyo basi anadhani ipo haja ya kumuweka sana na #Diamond.

Unadhani wawili hawa wanaweza kumaliza tofauti zao?
.
.
#mwananchiscoop
#burudikanasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post