Tamthilia hiyo inakadiriwa kuwa ndiyo tamthilia inayofatiliwa zaidi kupitia mtandao huo wa kuonesha movie, mwamba huyo anadai kuwa hajapokea chochote kutoka katika kazi yake hiyo.

Aidha Paul na waigizaji wenzake akiwemo Bryan Cranston na Jesse Plemons waliungana kufanya mgomo wakidai malipo bora kwa kazi zao zinazooneshwa kwenye Tv na Kampuni za kuonesha tamthilia hiyo
Leave a Reply