50% ya dawa Afrika Magharibi ni bandia

50% ya dawa Afrika Magharibi ni bandia

Ofisi ya Umoja wa Mataifa (UN)  inayosimamia Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) imesema kuna kasoro kadhaa katika kuripoti kuhusu biashara hiyo haramu na huenda idadi ya dawa hizo zisizofaa ikawa juu zaidi ya ilivyo kwenye takwimu zilizopo

UN imetoa angalizo hilo kupitia ripoti kuhusu biashara haramu ya bidhaa za matibabu

Kati ya Januari 2017 hadi Disemba 2021, takribani tani 605 za bidhaa za matibabu zilikamatwa Afrika Magharibi katika Operesheni za Kimataifa na ripoti ya hivi karibuni Shirika la Afya Duniani inaeleza kuwa kuna vifo 267,000 kila mwaka vinavyohusishwa na matumizi ya dawa za Malaria zisizokidhi vigezo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post