Washika rekodi ya wanandoa mwenye tatoo nyingi

Washika rekodi ya wanandoa mwenye tatoo nyingi

Wachora tattoo maarufu nchini Marekani Victor Hugo Peralta na mkewe Gabriela Peralta maarufu kama “cherubs of hell” wameendelea kushika rekodi ya wanandoa wenye tattoo nyingi zaidi tangu mwaka 2012 hadi sasa.

Kwa mujibu wa Guinness World Records kupitia mitandao yao ya kijamii imeeleza kuwa wanandoa hao wana tattoo 91 kwenye miili yao ambapo Victor ana tattoo 41 na kwa upande wa mkewe ana tattoo 50.

 Victor alijichora tattoo yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 11, huku nyingine alianza kuzichora baada ya kuoana na Gabriela mwaka 2009.
.
.
.
#MwananchiScoop
#BurudikaNasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post