Wakili ‘feki’ akana mashitaka, Ataka kugombea ubunge

Wakili ‘feki’ akana mashitaka, Ataka kugombea ubunge

Brian Njagi anayetuhumiwa kufanya majukumu ya uwakili bila kuwa na vigezo vya elimu nchini Kenya amekana mashtaka hayo mahakamani leo Oktoba 18, 2023 huku akitangaza nia ya kugombea ubunge katika uchaguzi ujao.

Njagi ambaye amekuwa akifanya majukumu ya uwakili wa kisheria, amefikishwa mahakamani jijini Nairobi leo Jumatano asubuhi kufuatia kukamatwa kwake wiki hii.

Mwanaume huyo anakabiliwa na mashtaka ya kughushi nyaraka rasmi ili kufanya kazi ya uwakili na wizi wa utambulishon amekana mashtaka hayo lakini pia ametangaza nia kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa 2027 nchini humo.
.
.
.
#MwananchiScoop
#BurudikaNasi






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post