Vibe la Chris Brown na Davido jukwaani

Vibe la Chris Brown na Davido jukwaani

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Chris Brown ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kumpandisha jukwaani mkali wa Afrobeat Davido na ku-perfom ngoma yao ya ‘Sensational’ ilioko kwenye albumu mpya ya Breezy iitwayo 11:11.

Davido na Chris walikumbushia enzi kwa kutumbuiza wimbo wa ‘Shopping Spree’ wa Davido wa mwaka 2021 aliotumbuiza kwenye Coca Cola concert iliyofanyika Arena nchini Dubai.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post