Marioo atoa neno video ya Diamond, Jux

Marioo atoa neno video ya Diamond, Jux

Marioo atoa neno la shukurani baada ya video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha Diamond, Jux na wasanii wengine wakicheza wimbo wa #Sumu ulioimbwa na Alikiba ft Marioo.

Marioo ameandika,

Binafsi nawapenda na kuwaheshimu Brothers wote kwa sababu nyie ndo sababu ya nafasi yangu ❤️🔥

Naamini upendo umetawala sana mioyoni mwenu japo kuwa sometimes mambo ya ridhki ndo yanafanya kuwa kuna namna tofauti But NOTHING SERIOUS 🧐
Let's Take bongofleva to the Top 🇹🇿❤️🚀🚀






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Asha Charles


Latest Post