Kizazi cha sasa champa mashaka Arnold Schwarzenegger

Kizazi cha sasa champa mashaka Arnold Schwarzenegger

Muigizaji maarufu duniani Arnold Schwarzenegger amefunguka akiwa kwenye kipindi cha The Howard Stern Show, na kudai kuwa anapata mashaka na kizazi cha sasa kwani jamii inaunda kizazi cha watu dhaifu.

Arnold amesema kuwa jamii ya sasa inaunda kizazi ambacho kinajali zaidi hisia za kuumizwa na kinapenda kulia badala ya kukabiliana na changamoto moja kwa moja.



Muigizaji huyo alionya na kutaka watu wazima kuwafundisha watoto wao uwezo wa kikakamavu wa akili badala ya kulea kizazi chenye watu dhaifu.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post