Jessica hakujua Rick Ross atatumia sauti yake hadi leo

Jessica hakujua Rick Ross atatumia sauti yake hadi leo

Mwanamitindo kutoka Marekani Jessica Gomez ambaye sauti yake ilisikika mwanzoni mwa wimbo wa ‘rapa’ Rick Ross aliomshirikisha Jay-Z uitwao ‘May Back Music’ ameweka wazi kuwa hakuwahi kufikiria kama sauti yake itatumika hadi leo.

Mwanamitindo huyo mzaliwa wa #Australia ambaye kwa sasa anaishi Marekani amesema sauti hiyo aliingiza akiwa na rafiki yake miaka 10 iliyopita.

Hata hivyo alieleza wakati walipokuwa matembezini na rafiki yake walikutana na #Ross, #Jay na kuwaomba waingize sauti katika wimbo wao, huku akidai kuwa hakuwahi kufikiria kama sauti yake itatumika hadi leo.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post