Hatimaye Eric Omondi afuchua sura ya mwanaye

Hatimaye Eric Omondi afuchua sura ya mwanaye

Ikiwa ni siku chache zimapita tangu mchekeshaji kutoka nchini #Kenya, #EricOmondi kulipwa zaidi ya Tsh 81 milioni kufichua sura ya mtoto wake wa kike #Kyla, hatimaye ameonesha sura ya mtoto huyo.

Awali Eric alisema kuwa hatokuja kuonesha sura ya mwanaye hadi mtu alipe ksh 50 milioni, ambapo atakayelipa pesa hiyo ndiye atakuwa mtu wa kwanza kumuona mtoto na atapata nafasi ya kuitumia picha ya sura ya kichanga huyo katika biashara zake kama vile majarida ya watoto au maduka makubwa ya nguo za watoto.

Kauli hiyo imetimia ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-post video ya mtoto wake ikionesha kuwa #Kyla ni brand ambassador katika duka la bidhaa za watoto lililopo nchini #Kenya.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post