Dickson Job: simu ya Mudathiri imeibiwa

Dickson Job: simu ya Mudathiri imeibiwa


Mchezaji wa ‘klabu’ ya Yanga Dickson Job amemtania mchezaji mwenzake Mudathiri Yahya kwa kueleza kuwa simu aliyokuwa akitumia Mudathiri kupiga wakati akiwa amefunga bao imeibiwa.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Job ame-share picha akiwa na Mudathiri ikiambatana na ujumbe usemao “Simu ya Anko Mudathiri imeibiwa msione kimya ikipatikana basi itaendelea kuita”

Mudathiri Yahya ni mchezaji ambaye anatumia staili ya kupiga simu baada ya kufunga bao wakati akiwa kwenye ‘mechi’.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post