Diamond awafunga watu midomo, ataka wapunguze viherehere

Diamond awafunga watu midomo, ataka wapunguze viherehere

Msanii #DiamondPlatinumz ameendela kuwafunga midomo wale waliyodai wimbo wa ‘Shu’ sio mzuri na hautafika popote.
Diamond ameendelea ku-post ma-dj kutoka nchi mbalimbali wakitaja kuwa wimbo huo ndiyo top amapiano kwa mwaka 2023.

Kupitia video ambayo mkali huyo ame-share ameandika ujumbe akidai kuwa , “Naendelea kuwakumbusha tu wachambuzi uchwara kuwa ‘Shu’ ndiyo 2023 top amapiano ulimwenguni next time punguzeni viherehere”






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post