Chadema yaanza kupokea ruzuku

Chadema yaanza kupokea ruzuku


Kauli hiyo ameitoa Makamu mwenyekiti wa chama hicho ambapo hii ni mara ya kwanza kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kukiri kupokea ruzuku tangu kilipogoma kuichukua baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.

Aidha Tundu Lisu, amesema “Tumepokea sehemu tu ya pesa hizo na kiasi kilichosalia tutapewa siku za usoni. Tumeamua kuichukua kwasababu ya ahadi ya maridhiano yanayoendelea".

Hata hivyo Ruzuku hiyo inayokadiriwa kuwa zaidi ya Tsh. Milioni 110 waliigomea baada ya kukataa Matokeo ya Uchaguzi na Mazao yake






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Saphinia Suleiman

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, career, skills development and technology.


Latest Post