Juniotalent TZ

Juniotalent TZ

Na Aisha Lungato

Name ; Emmanuel Mbonde

Birthiday;9TH  December

Kazi ; Rider bmx and Unicycle Africa

Emmanuel Mbonde also known as Juniotalent TZ  is an Tanzania  Rider bmx , Unicyle Africa and presenter of  Vipajitv and Simulizi na sauti.

Juniotalent alipata umaarufu baada ya clip zake za vichekesho kutrend katika mitandao ya kijami, ambapo moja wapo ni ile ya mwaka 2019 ilioleta utata wa lungha kupitia neno la ( hey baby).

 He rose to prominence after performing a Swahili challenge by teaching Americans to speak Swahili and to sing swahili songs that work well through social media.

Kupitia mwananchiscoop Emmanuel alifunguka na kueleza matamanio yake Ni ``hadi sasa mimi ni mcheza baiskeli namba moja Tanzania na ni rider bmx and unicycle Africa, matamanio yangu ni kuwa rider bmx and unicycle world namba moja pia alifunguka kuhusu changamoto anazo pitia ni hali ya hewa na lifestyle ya kule coz maisha ya Tanzania na nje ni tofauti’’ amesema Juniotz.

We love Juniotalent because he is a young man who is dedicated and ready to make a difference for his country, as he said that his main goal is to travel around the world to promote Tanzania. so we advise other young people to appreciate their country and to promote it so that it can be known throughout the  world .

 

 

 






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Detricia Pamba

A Digital Journalist, Content Creation Executive at Mwananchi Communications Ltd and Chief Editor of Mwananchi Scoop. I'm also writes stories around Technology, every Wednesday on Mwananchi Scoop. My other famous segments on Mwananchi Scoop include LISTI and WHO’S HOT.


Latest Post