Hatimaye ‘akaunti’ za mrembo huyo kwenye ukurasa wa #Instagram na #Twitter zimefungiwa. Nikukumbushe Anita alijitokeza na kudai kuwa amebeba ujauzito wa #Davido huku aki-share baadhi ya picha za mazungumzo aliyowahi kufaya na nyota huyo pamoja na kipimo cha ujauzito

Leave a Reply