African Giant ya Burna yafikia hadhi ya Platinum

African Giant ya Burna yafikia hadhi ya Platinum

Baada ya miaka mitano kuachia album ya ‘African Giant’ na kufanya vizuri sasa album hiyo ya mkali wa #Afrobeat kutoka nchini Nigeria Burna Boy imetangazwa kufikia hadhi ya platinum nchini #Ufaransa baada ya kuuza nakala (copies) 100,000.

Na hii inakuwa album ya kwanza #Nigeria kufikia hadhi za #Platinum nchini humo

Ikumbukwe kuwa album hiyo iliachiwa rasmi mwezi Julai mwaka 2019, huku mwaka 2023 wimbo wa ‘Last Last’ uliokuwa katika album hiyo ukitangazwa kufikia hadhi ya almasi na #SNEP.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm
Aisha Lungato

A digital journalist and writer for Mwananchi Scoop. My stories are around entertainment, lifestyle, artist profiles and career.


Latest Post