Bibi Titi mwanamke wa kwanza kujiunga na TANU

Bibi Titi mwanamke wa kwanza kujiunga na TANU

Tanganyika ilipopata uhuru, Mwalimu Julius Nyerere ndiye aliyesifiwa na kupewa jina la baba wa taifa. Lakini bila ya Bibi Titi Mohamed, asingekuwa na ushawishi wa kutosha wa kufanikiwa kuikomboa nchi hiyo.

Bibi Titi Mohamed alizaliwa 1926 katikati mwa jiji la Dar es Salaam kwenye familia ya Kiislam. Kama wenzake wengi wa wakati huo, hakupata elimu rasmi, lakini alijifunza mengi kutoka kwa wazazi wake na familia yake kwa jumla.

This story is available exclusively to MWANANCHISCOOP members.
Become a #Scooper and start reading now.






Comments 0


Leave a Reply

Author

Hello, I'm


Latest Post